BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, November 30, 2010

Kilimanjaro stars yalala 1-0 kwa Chipolopolo


Nahodha wa kilimanjaro stars akimuongoza Rais wa jamhuri ya muungano mh.Jakaya Mrisho Kikwete kuwasalimia wachezaji wa kilimanjaro stars siku ya ufunguzi wa michuano inayoshirikisha mataifa ya afrika mashariki na kati na baadhi kutoka nje ya ukanda huu kualikwa kama Ivory coast,katika mchezo kili stars ilichapwa bao 1-0 na Wazambia.

Nani kama Mama


Mama mzazi wa mmiliki wa blog hii akiwa amepozi maskani kwake Mlowo Mbozi,tunakushukuru kwa malezi mema yenye maadili mema na tunaomba Mola akujalie afya njema na mafanikio mema katika maisha.