BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, November 11, 2014

ZAMBIA IS HOLDINGS A STATE FUNERAL FOR PRESDENT MICHAEL SATA WHO DIED LAST MOUNTH IN A UK HOSPITAL AT THE AGE OF 77

                               There was a deafening wailing when the coffin come into the stadium
 Tens of thousands of people are attending  the Catholic mass of the National Heroes Stadium in the Capital,Lusaka.
 Regional leaders are amongst those who have come to pay their respects
 Known as "King Cobra" for his venomous tongue,Mr Sata was elected Zambia Presdent in 2011.
 The country is now being run by an acting Presdent,and fresh elections are expected in January 2015

Monday, November 10, 2014

SIMBA YAZINDUKA USINGIZINI YAWACHAPA RUVU SHOOTING 1-0

  Timu ya Simba SC imefanikiwa kupata ushindi wa kwanza kwenye ligi kuu ya Vodacom kwa kuwafunga RUVU SHOOTING goli 1-0 kwenye uwanja wa Taifa,goli hilo pekee limefungwa na Emmanuel Okwi baada golikipa kuutema mpira uliopigwa na Elias Maguri.
  Simba ikiwa imeingia uwanjani kwa mara ya saba ndio ushindi wake wa kwanza baada ya kutoka sare michezo sita mfulululizo na sasa wamefikisha alama tisa,huku Mtibwa Sugar wakiwa wanaongoza ligi kwa alama 15,wakifuatiwa na Azam na Yanga zenye alama 13 kila moja.
Matokeo mengine yalikuwa kama ifuatavyo:-

.Yanga 2-Mgambo 0

.Azam 2-Coastal 1

.Stand UTD 1-Mbeya City 0

.Polisi Moro 1-Prison 0

.Mtibwa 1-Kagera 1

.JKT Ruvu  2-Ndanda 0

Ligi hiyo itaendelea tena D
esemba 26 baada kusimama kwa ajili ya michezo ya Chalenji na Uhai Cup.

Emmanuel Okwi akishangilia goli alilofunga
Kocha Patrick Phiri akimpongeza Okwi kwa kuweza kuipatia timu ushindi
Mashabiki wa Simba wakiwa na furaha ya ajabu baada ya ushindi