BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, November 11, 2014

ZAMBIA IS HOLDINGS A STATE FUNERAL FOR PRESDENT MICHAEL SATA WHO DIED LAST MOUNTH IN A UK HOSPITAL AT THE AGE OF 77

                               There was a deafening wailing when the coffin come into the stadium
 Tens of thousands of people are attending  the Catholic mass of the National Heroes Stadium in the Capital,Lusaka.
 Regional leaders are amongst those who have come to pay their respects
 Known as "King Cobra" for his venomous tongue,Mr Sata was elected Zambia Presdent in 2011.
 The country is now being run by an acting Presdent,and fresh elections are expected in January 2015

Monday, November 10, 2014

SIMBA YAZINDUKA USINGIZINI YAWACHAPA RUVU SHOOTING 1-0

  Timu ya Simba SC imefanikiwa kupata ushindi wa kwanza kwenye ligi kuu ya Vodacom kwa kuwafunga RUVU SHOOTING goli 1-0 kwenye uwanja wa Taifa,goli hilo pekee limefungwa na Emmanuel Okwi baada golikipa kuutema mpira uliopigwa na Elias Maguri.
  Simba ikiwa imeingia uwanjani kwa mara ya saba ndio ushindi wake wa kwanza baada ya kutoka sare michezo sita mfulululizo na sasa wamefikisha alama tisa,huku Mtibwa Sugar wakiwa wanaongoza ligi kwa alama 15,wakifuatiwa na Azam na Yanga zenye alama 13 kila moja.
Matokeo mengine yalikuwa kama ifuatavyo:-

.Yanga 2-Mgambo 0

.Azam 2-Coastal 1

.Stand UTD 1-Mbeya City 0

.Polisi Moro 1-Prison 0

.Mtibwa 1-Kagera 1

.JKT Ruvu  2-Ndanda 0

Ligi hiyo itaendelea tena D
esemba 26 baada kusimama kwa ajili ya michezo ya Chalenji na Uhai Cup.

Emmanuel Okwi akishangilia goli alilofunga
Kocha Patrick Phiri akimpongeza Okwi kwa kuweza kuipatia timu ushindi
Mashabiki wa Simba wakiwa na furaha ya ajabu baada ya ushindi

Wednesday, October 29, 2014

RAIS WA ZAMBIA MICHAEL SATA AFARIKI JIJINI LONDON

  Kifo chake kimetokea siku chache baada ya Zambia kusherehekea miaka 50 ya uhuru wa nchi hiyo. Mwanasiasa huyo mkongwe aliingia madarakani mwezi Septemba 2011 baada ya kuongoza chama chake cha Patriotic Front, na kumshinda Rupiah Banda, ambaye alikuwa rais wakati huo na chama chake cha Movement for Multi-Party Democracy, kikiwa madarakani kwa miaka ishirini.
 Michael Chilufya Sata alizaliwa mwaka 1937 katika mji wa Mpika, eneo ambalo lilikuwa wakati huo ni Northern Rhodesia. Muumini wa dini ya Kikristo ya madhehebu ya Katoliki, alifanya kazi kama afisa polisi, mfanyakazi wa reli na mwanachama wa chama cha wafanyakazi wakati wa utawala wa kikoloni. Baada ya Zambia kupata uhuru wake, pia aliishi kipindi fulani mjini London, akiwa mfanyakazi wa reli, na kurejea Zambia, akiwa na kampuni ya teksi.
 Akiwa mwenye sauti ya mkwaruzo yakiwa ni matokeo ya kuvuta sigara kwa muda mrefu, Bwana Sata aliibuka katika siasa na kupata umaarufu katika miaka ya 1980. Haraka akapata sifa ya kuwa gavana mwenye kuchapa kazi kwa bidii, wakati akiongoza jimbo la Lusaka na mtu wa utekelezaji kwa vitendo.
 Lakini pia alijulikana kama mtu wa kutoa amri, mtu asiyeendekeza urafiki na mkali na wapinzani wake walisema jina alilopewa la bandia la "King Cobra" alikuwa anastahili kuitwa hivyo. Kwa mara ya kwanza alionekana kama mtu ambaye angetekeleza ahadi za kupambana na rushwa na kupata ufumbuzi wa tatizo la ajira na kuleta ustawi wa jamii. Lakini kipindi chake madarakani kiligubikwa na kuuzima upinzani wa kisiasa na kudorora kwa uchumi. Bwana Sata ni rais wa pili wa Zambia kufariki dunia akiwa madarakani baada ya Levy Mwanawasa.
Rais Michael Sata Enzi za uhai wake

Saturday, October 25, 2014

JKT RUVU YAVUNJA MWIKO WA AZAM,YAWACHAPA 1-0

  Timu ya JKT RUVU leo imefanikiwa kuwachapa mabingwa wa Tanzania bara Azam FC goli 1-0,ambao msimu uliopia walimaliza ligi bila kupoteza mchezo,kwenye uwanja wao wa Chamazi.
  Na huko Shinyanga,wenyeji Stand United wamekula kichapo cha goli 3-0 kutoka kwa Yanga ya Dar es salaam,Stand United waliingia uwanjani kwa kujiamini sana na hivyo kuipa Yanga wakati mgumu na kutoa mipira mingi ya kona ambazo hazikuzaa matunda.
  Yanga walifanikiwa kupata goli la kwanza lililofungwa na Santos Jaja na kwenda mapumziko wakiwa mbele kwa goli hilo.
  Kipindi cha pili Yanga walifanya mabadiliko kwa kuwatoa Jaja,Coutinho na Niyonzima na nafasi zao kuchukuliwa na Hussein Javu,Jerison Tegete na Nizar Khalfan mabadiliko hayo yaliiwezesha Yanga kupata mabao mawili zaidi yakifungwa na Jerison Tegete dakika ya 73 na 87 hadi mwisho wa mchezo Yanga 3-Stand UTD O
  Michezo mingine iliyochezwa leo na matokeo yake:-
.Azam FC 0-JKT Ruvu 1
.Prisons 1-Simba 1
.Kagera Sugar 1-Coastal 1
.Ndanda 0-Mgambo 1
Ruvu shooting 1-Polisi Moro 0
Kesho kutakuwa na mechi moja kati ya Mbeya City na Mtibwa Sugar uwanja wa Sokoine Mbeya.

Kikosi cha Yanga kikiwa tayari kwa mchezo

Wednesday, October 22, 2014

OSCAR PISTORIUS JAILED FOR FIVE YEARS

  Oscar Pistorius will spend his first day behind bars on Tuesday after he was sentenced to five years’ jail for killing his girlfriend, Reeva Steenkamp. Looking distressed, the Paralympian clasped the hands of family members as a police officer led him from the dock down 23 steps – paint peeling off the handrail – to holding cells below the high court in Pretoria, the capital of South Africa. The national prosecuting authority said Pistorius, 27, would go to prison immediately and would be eligible to be considered for parole after serving a third of his sentence. His uncle, Arnold Pistorius, indicated the sprinter would not appeal. The amputee athlete, known as the “Blade Runner”, stood staring straight ahead as judge Thokozile Masipa announced his sentence for culpable homicide. There was a muted reaction from the families on the front bench of the public gallery after a trial that has otherwise provided high emotion and drama. Masipa rejected many of the defence team’s arguments and described the evidence of one of their witnesses, social worker Annette Vergeer, as “slapdash and disappointing”. She said she had no reason to believe that South Africa’s prisons would not be able to cater for the needs of a disabled person such as Pistorius. “It would be a sad day for this country if an impression was created that there is one law for the poor and disadvantaged and another for the rich and famous,” she noted. Masipa said a judge must strive for a sentence “neither too light nor too severe”, ruling that “a non-custodial sentence will send a wrong message to the community”. Referring to the Steenkamp family, the judge said: “Nothing I do or say today can reverse what happened to the deceased or her family on 14 February 2013”, but she hopes her judgment would provide some form of closure. Steenkamp’s father, Barry, said afterwards: “I’m pleased that it’s over.” The Steenkamps’ lawyer, Dup de Bruyn, told Agence France-Presse that the sentence would probably be served as two years in prison and three years under house arrest. “In effect, he gets three years’ correctional supervision and two years’ direct imprisonment.” De Bruyn said Steenkamp’s parents were satisfied with the decision. “They feel it’s right.” Pistorius killed Steenkamp, 29, in the early hours of Valentine’s Day last year when he shot her through the bathroom door at his home in Pretoria. He insisted he thought he was firing at an intruder. Pistorius was also given a three year sentence, suspended for five years, for a firearms offence. Prison’s grim record The Pretoria prison in which Oscar Pistorius will spend at least the next 10 months counts among its more illustrious alumni the South African short-story master Herman Charles Bosman, who was sent there in 1926 after shooting and killing his stepbrother. Like Pistorius, Bosman claimed it was an accident, but Bosman was convicted of murder and only escaped death row after a reprieve. His resulting prison memoir, Cold Stone Jug, was described by Doris Lessing as “the saddest of all prison books”. Today Kgosi Mampuru, previously known as Pretoria Central Prison, but renamed to honour a Bapedi chief hanged there in 1883 after being convicted of murder, public violence and revolt, is home to Clive Derby-Lewis and Janusz Walus, convicted of the 1993 assassination of the ANC leader Chris Hani. Derby-Lewis has twice been attacked by other inmates, most recently in March this year. His lawyer said at the time: “It is safer to go to war than to be in the Kgosi Mampuru prison”. Pistorius may hope his experience is more similar to that of the Waterkloof Two, Frikkie du Preez and Christoph Bekker, who were sent to the prison after being convicted of killing a homeless man in 2001. A video of the two emerged earlier this year that appeared to show them drinking alcohol and using mobile phones and computers in their cell, prompting a public outcry and forcing an investigation by Correctional Services. Inmates at Kgosi Mampuru have already told the South African newspaper The Times that a mobile phone was waiting for Pistorius. One prisoner said they had been following his trial on TV using mobile satellite devices, and that the athlete would be protected by his fame and money.
Oscar Pistorius and Reeva Steenkamp

Monday, October 20, 2014

DALILI ZA UGONJWA WA EBOLA

 Symptoms of Ebola virus infection are similar to those produced by other hemorrhagic fever viruses and include fever, fatigue, malaise, reddened eyes, weakness, joint pain, muscle pain, headache, nausea, vomiting, and diarrhea. Additional Ebola symptoms include a loss of appetite and often stomach pains.

Saturday, October 18, 2014

YANGA NA SIMBA HAKUNA MBABE

  Mchezo namba 27 wa Ligi Kuu ya Vodacom uliowakutanisha watani wa jadi Young Africana kutoka eneo la Jangwani na Simba SC kutoka eneo la msimbazi jijini Dar es salaam umemalizika kwa suluhu ya bila kufungana (0-0), mtanange uliofanyika jioni ya leo kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
 Young Africans ilingia uwanjani chini ya kocha wake Marcio Maximo kusaka pointi tatu hali kadhalika Phiri wa Simba akisaka alama tatu pia hali iliyopelekea mchezo huo kuwa mgumu kutikisika kwa nyavu za pande zote mbili. Kocha mbrazil alimtumia mshambuliaji Jaja akisaidiwa na Coutinho, Ngasa, Niyonzima na viungo Mbuyu Twite na Hassan Dilunga huku Phiri akimtumia Maguri kama mshambuliaji kiongozi akisaidiwa na Kiemba, Ndemla, Chanongo na Okwi.
 Young Africans ilifanya mashambuizi kadhaa langoni mwa Simba kupitia kwa washambuliaji wake hali kadhalika wapinzani nao walifanya hivyo pia lakini mashambulizi ya timu zote mbili yalikuta yakiishia mikononi kwa walinda mlango wa timu zote. Mpaka dakika 45 zakipindi cha kwanza zinamalizika, Young Africans 0 - 0 Simba SC. 
 Kipindi cha pili kilianza kwa timu zote kufanya mabadiliko kwa lengo la kusaka bao la mapema katika mchezo wa huo, lakini kutokua makini kwa washambuliaji wa timu zote kulifanya milango kuendelea kuwa migumu kufunguka. Andrey Coutinho alikosa nafasi mbili za kuipatia Young Africans bao baada ya kupokea krosi nzuri ambazo alishindwa kuzitumia vyema kuukwamisha mpira wavuni na kukuta michomo yake ikiokolewa na mlianda mlango wa Simba SC Manyika Peter. Simba ilifanya mashambulizi langoni wa Young Africans kupitia kwa washambuliaji wake Okwi, Maguri na Chanongo lakini jitihada zao hazikuzaa matunda na kukuta mipira yao ikiishia mikononi wa mlinda wa Deo Munish "Dida" na mingine kupaa juu ya lango au kuokolewa na walinzi. Mpaka dakika 90 za mchezo zinamalizika, Young Africans 0 - 0 Simba SC. 
 Young Africans: 1. Dida, 2. Juma Abdul/Telela, 3. Oscar, 4. Cannavaro, 5. Yondani, 6. Twite, 7.Dilunga, 8.Niyonzima/Msuva, 9.Jaja/Kizza, 10.Ngasa, 11. Coutinho 
Kikosi cha Yanga
 
Golikipa wa Simba Peter Manyika Jr. akiokoa moja ya hatari langoni kwake huku washambuliaji wa Yanga wakiwa jirani naye.
Simba SC: 1. Manyika, 2. Gallas, 3. Mohamed, 4. Isihaka, 5. Owino, 6.Mkude/Seseme, 7.Chanongo, 8/Ndemla/Kisiga, 9.Maguri, 10.Kiemba/Messi, 11.Okwi 

  Matokeo ya michezo mingine
Mbeya City 0-Azam FC 1

Coa
stal 2-Mgambo 0
Ndanda
1-Ruvu Shooting 3
Mtibwa 0-Polisi 0

Kagera 0-Stand Utd 0

Thursday, October 09, 2014

MARAIS WA MATAIFA YALIYOATHIRIKA NA EBOLA WAOMBA MSAADA

Marais wa Liberia ,Sierra Leone na Guinea,mataifa matatu yalioathirika vibaya na Ebola wanataka msaada zaidi ili kuwasaidia kukabiliana na ugonjwa wa Ebola. Rais wa Sierra Leone Ernest Bai Koroma ameiambia banki ya dunia katika mkutano mjini Washington kwamba jamii ya kimataifa haijachukua hatua za dharura kwa kuwa watoto wanaendelea kuwa mayatima,huku madaktari na wauguzi wakifariki. Naibu wa shirika la afya duniani Bruce Aylward ameuambia mkutano huo kwamba Ebola imesambaa katika miji yote mikuu ya mataifa hayo matatu yalioathirika pakubwa na kwamba ulikuwa unaenea kwa kasi katika kila eneo. Afisa mkuu wa matibabu nchini Marekani Thomas Frieden amesema kuwa mlipuko wa Ebola hauwezi kufananishwa na ugonjwa mwengine tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ukimwi.