
Waelimishaji kutoka kitengo cha taifa cha damu salama kanda ya nyanda za kusini,wakitoa elimu juu ya uchangiaji damu kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lwati wilayani Mbozi-Mbeya.Kwa kutumia blog hii nawapongeza wafanyakazi wa kitengo husika na wale wote wenye moyo wa kujitolea kwa ajili ya wahitaji-Amen.