
Timu ya Chelsea imeingia fainali ya klabu bingwa ulaya baada ya kufungana FC Barcelona 2-2 kwenye uwanja wa Nou Camp kwenye mchezo wa nusu fainali.
Chelsea imefanikiwa kuingia fainali kwa jumla ya mabao 3-1,wiki mbili zilizopita ilipata ushindi wa goli 1-0 jijini London kwenye uwanja wa Stamford Bridge.
Magoli ya Barca yalifungwa na Sergio na Iniesta na Chelsea walisawazisha kupitia Lamires na Tores.
No comments:
Post a Comment