BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, December 16, 2010

GOLDEN CITY HOTEL-MBEYA


Mdau wetu akiwa kwenye hotel ya Golden City iliyoko jijini Mbeya

FOREST HILL MOTEL(JM)


Forest Hill Motel ni moja kati ya sehemu tulivu kwa wageni wanaofika jijini Mbeya.

Mr.FRED MICHAEL MALAGI


Fred Malagi mfanyakazi wa National blood transfusion services,akiwa na meneja wa Golden city hotel,iliyopo mjini alipotembelea hotel hiyo kwa ajili ya sherehe ya family day kwa wafanyakazi wa NBTS-SOUTHERN HIGHLAND

Dr.Yosse Ndossy


Dr.Yosse Ndossy akiwa kazini,maabara ya kitengo cha damu salama kanda ya nyanda za juu kusini.

LATIFA BAKARI NYAKUNGA


Muamasishaji wa kitengo cha damu salama kanda ya nyanda za juu kusini,akitafakari jinsi ya kuwaelimisha wachangia damu kwa hiari.

Wednesday, December 01, 2010

Film


Ni moja ya filamu mpya inayokaribia kuingia sokoni hivi karibuni

ZANZIBAR HEROES YAIFUNGA SUDAN 2-0


Timu ya Zanzibar imefanikiwa kuichapa Sudan 2-0 kwenye mchezo wake dhidi Sudan,magoli ya Zanzibar yalifungwa na Allz Ahmed(shiboli) ambaye inasemekana kasajiliwa na Simba kwenye usajili wa dirisha dogo.

Tuesday, November 30, 2010

Kilimanjaro stars yalala 1-0 kwa Chipolopolo


Nahodha wa kilimanjaro stars akimuongoza Rais wa jamhuri ya muungano mh.Jakaya Mrisho Kikwete kuwasalimia wachezaji wa kilimanjaro stars siku ya ufunguzi wa michuano inayoshirikisha mataifa ya afrika mashariki na kati na baadhi kutoka nje ya ukanda huu kualikwa kama Ivory coast,katika mchezo kili stars ilichapwa bao 1-0 na Wazambia.

Nani kama Mama


Mama mzazi wa mmiliki wa blog hii akiwa amepozi maskani kwake Mlowo Mbozi,tunakushukuru kwa malezi mema yenye maadili mema na tunaomba Mola akujalie afya njema na mafanikio mema katika maisha.