Mdau wetu akiwa kwenye hotel ya Golden City iliyoko jijini Mbeya
Forest Hill Motel ni moja kati ya sehemu tulivu kwa wageni wanaofika jijini Mbeya.
Fred Malagi mfanyakazi wa National blood transfusion services,akiwa na meneja wa Golden city hotel,iliyopo mjini alipotembelea hotel hiyo kwa ajili ya sherehe ya family day kwa wafanyakazi wa NBTS-SOUTHERN HIGHLAND
Dr.Yosse Ndossy akiwa kazini,maabara ya kitengo cha damu salama kanda ya nyanda za juu kusini.
Muamasishaji wa kitengo cha damu salama kanda ya nyanda za juu kusini,akitafakari jinsi ya kuwaelimisha wachangia damu kwa hiari.
Bw.BENJAMIN J.KAMINYOGE akiwa kwenye hotel ya Royal Park alipotembelea Mafinga.
Ni moja ya filamu mpya inayokaribia kuingia sokoni hivi karibuni
Timu ya Zanzibar imefanikiwa kuichapa Sudan 2-0 kwenye mchezo wake dhidi Sudan,magoli ya Zanzibar yalifungwa na Allz Ahmed(shiboli) ambaye inasemekana kasajiliwa na Simba kwenye usajili wa dirisha dogo.
Nahodha wa kilimanjaro stars akimuongoza Rais wa jamhuri ya muungano mh.Jakaya Mrisho Kikwete kuwasalimia wachezaji wa kilimanjaro stars siku ya ufunguzi wa michuano inayoshirikisha mataifa ya afrika mashariki na kati na baadhi kutoka nje ya ukanda huu kualikwa kama Ivory coast,katika mchezo kili stars ilichapwa bao 1-0 na Wazambia.
Mama mzazi wa mmiliki wa blog hii akiwa amepozi maskani kwake Mlowo Mbozi,tunakushukuru kwa malezi mema yenye maadili mema na tunaomba Mola akujalie afya njema na mafanikio mema katika maisha.
BWANA NDIYE MCHUNGAJI WANGU,SITAPUNGUKIWA KITU~~~~~
Mdau wetu akiwa eneo la Kigonsela wakati akielekea Mbinga