BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, April 04, 2013

CANAAN HIGH SCHOOL-MLOWO MBOZI.


Ni moja ya shule nzuri zilizopo wilayani Mbozi,shule ipo eneo la Mlowo kilomita 1.2 toka barabara kuu iendayo Tunduma,shule ina walimu wazuri kwa masomo yote na mazingira mazuri kwa wanafunzi.
Pia ina Hosteli kwa ajili ya wavulana na wasichana,inapokea wanafunzi kutoka sehemu mbalimbali,wahi sasa ili hupate nafasi kwenye shule hii yenye ubora mkubwa.

2 comments: