BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, May 28, 2011

SUMRY YAPATA AJALI MBAYA.


Basi la kampuni ya Sumry high class limepata ajali eneo la Igawa na kupoteza maisha ya abiria 13 na wengine kujeruhiwa,basi hilo lilipata ajali kutokana na kupasuka tairi la mbele na kusababisha basi hilo kupinduka,basi hilo lilikuwa likitokea jijini Arusha.

No comments:

Post a Comment