BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, January 20, 2011

AJALI


Daladala inayofanya safari kati ya Mbalizi na Mwanjelwa ikiwa imeigonga gari ndogo eneo la Kadege,kwa bahati nzuri hakuna majeruhi kwenye ajali hii iliyotokea jioni hii.

No comments:

Post a Comment