BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, June 20, 2011

KANISA LA MORAVIAN KUHAMISHIA MAKAO MAKUU MJINI DODOMA

                                                                  Kanisa la Moravian liko kwenye mipango ya kuhamishia makao makuu ya kanisa hilo mjini Dodoma hayo yameelezwa na Askofu mkuu wa kanisa ndg.Alinikisa Cheyo katika ibada ilyofanyika jana kwenye kanisa la Ruanda Mbeya,alisema tayari wameshapata ekari 225 kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya ofisi na vitega uchumi mbalimbali pia alielezea kuwa wako kwenye mipango ya kufungua campus ya chuo kikuu kinachomilikiwa na kanisa hilo kwenye mikoa ya Tabora na Dar es salaam na wanategemea kuanza september mwaka huu.

No comments:

Post a Comment