BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, January 04, 2011

SOKO MATOLA-MBEYA


Wauzaji wa matunda, mboga za majani na viungo wakiwa wamepanga bidhaa zao mbele ya maduka na kuzipanga chini,tunawaomba viongozi wa soko na halmashauri ya jiji kuwawekea mazingira mazuri wajasiliamali hawa kwa kuwaweka eneo zuri kwa afya za walaji na wao pia.

No comments:

Post a Comment