BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, March 02, 2011

GADAFFI ANG'ANG'ANIA MADARAKANI

  • Kiongozi wa Libya Muamar Gadaffi ameendelea kung'ang'ania madaraka,licha ya kuwepo kwa maandamano ya kumtaka kuachia madaraka hayo ya urais ambayo ameshikilia kwa zaidi ya miaka arobaini,amekuwa ahamini kinachotokea kwenye taifa lake kutokana na jinsi utawala wake kutowapa uhuru waandishi wa habari na redio.


No comments:

Post a Comment