BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, March 08, 2011

WATU WAFURIKA KWA MCHUNGAJI

Umati wa watu unaendelea kufurika kwa mchungaji mstaafu mzee Ambilikile Mwasapile wilayani Ngorongoro,watu wamekuwa wakitoka sehemu mbambali kwa ajili ya kufuata tiba ya magonjwa mbalimbali ambayo yamekuwa hayatibiki hospitalini

No comments:

Post a Comment