KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Tuesday, March 08, 2011
WATU WAFURIKA KWA MCHUNGAJI
Umati wa watu unaendelea kufurika kwa mchungaji mstaafu mzee Ambilikile Mwasapile wilayani Ngorongoro,watu wamekuwa wakitoka sehemu mbambali kwa ajili ya kufuata tiba ya magonjwa mbalimbali ambayo yamekuwa hayatibiki hospitalini
No comments:
Post a Comment