BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, April 18, 2013

BI.KIDUDE AFARIKI DUNIA


Msanii mkongwe hapa nchini Fatma Baraka (Bi.Kidude) amefariki na atazikwa leo huko kijijini kwao Katumba Unguja.
Bi.Kidude alikuwa ni muimbaji wa nyimbo za taarab na mpiga ngoma maarufu,ambaye alikuwa maarufu ndani na nje ya nchi alikuwa kipenzi cha watu wengi kutokana na uwezo wake wa kulishambulia jukwaa pamoja na umri wake kuwa mkubwa.

No comments:

Post a Comment