BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, April 27, 2013

BARCELONA NA REAL MADRID UGONJWA MMOJA WAPIGWA NNE NNE NA WAJERUMANI.


Real Madrid chini ya special coacher Jose Maurinho jana imepata kipigo kikubwa kutoka kwa Borussia Dortmund cha goli 4-1,kwenye nusu fainali ya klabu bingwa Ulaya.
Magoli ya Dortmund yote yamefungwa na Robert Lewandoski huku goli la kufutia machozi la Real Madrid likifungwa na Christian Ronaldo
Nao Barcelona juzi walikutana na kipigo kama hicho cha goli 4-0,kutoka kwa Bayern Munich,mechi za marudiano zitachezwa tarehe 30 na 31/05/2013 nchini Hispania.

No comments:

Post a Comment