BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, June 14, 2011

SIKU YA WACHANGIA DAMU DUNIANI

Bi.Tumaini Kanyamale akiwa na mtaalamu kitengo cha damu Mbeya bi.Salome magwaza.
Leo ni siku ya wachangia damu kwa hiari duniani,maadhimisho haya hufanyika kila june 14,picha inayoonekana ni bw.Paul Haule mkazi wa Nzovwe Mbeya akichangia damu katika siku hii kwenye kitengo cha damu salama akiwa na mtaalamu wa kitengo hicho bi. Salome Magwaza.Kumbuka damu haiuzwi

No comments:

Post a Comment