BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, August 19, 2011

USAFIRI WA LITEMBO-MBINGA


Kutokana na wilaya ya Mbinga kuwa na milima mingi wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakitumia usafiri wa Land Rover,ambazo zimepewa na kuitwa Mondolino kutokana na uwezo kupanda na kushuka milima hiyo huku zikiwa na abiria wengi na mizigo mingi.

No comments:

Post a Comment