KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Friday, August 19, 2011
USAFIRI WA LITEMBO-MBINGA
Kutokana na wilaya ya Mbinga kuwa na milima mingi wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakitumia usafiri wa Land Rover,ambazo zimepewa na kuitwa Mondolino kutokana na uwezo kupanda na kushuka milima hiyo huku zikiwa na abiria wengi na mizigo mingi.
No comments:
Post a Comment