BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, May 05, 2012

MTIBWA YAWAPA SIMBA UBINGWA KIRAHISI.


Timu ya Mtibwa jana imewapa ubingwa Simba baada ya kuwafunga Azam bao 2-1 kwenye mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja huru kwa timu zote,uwanja wa Taifa na kwa matokeo hayo Azam hawawezi kufikisha pointi 59 ambazo Simba wanazo tayari,huku Azam wakiwa na pointi 53 na kubakiwa na mchezo mmoja kwa kila timu.

No comments:

Post a Comment