BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, November 01, 2011

MASELE NA WENZAKE WAWALEMAZA WASAFIRI KITUO CHA MABASI MBEYA.


Msanii maarufu na wenzake toka jijini Dar es salaam,leo wamewateka wasafiri waliokuwepo kituo kikuu cha mabasi jijini Mbeya,na kuwafanya wabaki wakiwaangalia na kusahau kufanya mipango ya safari kutokana na vituko vyao vya maigizo walivyokuwa wakionyesha na kuwavutia wasafiri wengi na baadhi wafanyabiashara wa eneo hilo.

No comments:

Post a Comment