BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, May 03, 2012

MZEE WAWILA HERMAN NZOWA AJITOLEA KUHAMASISHA ELIMU WILAYANI MBOZI.


Mzee Wawila Hermain Nzowa(84) mkazi wa kijiji cha Igamba wilayani Mbozi,amekuwa akipita kwenye shule za sekondari na msingi wilayani Mbozi.kuhamasisha wanafunzi kujisomea na kuepukana na maambukizi ya ukimwi.
Mzee Nzowa amesema amekuwa akifanya shughuli hii kwa kutembea shule hadi shule,mzee huyu ameomba taasisi au watu binafsi kumsaidia ili kuweza kuokoa taifa la kesho.

No comments:

Post a Comment