BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, December 29, 2011

BAADHI YA BARABARA NI KERO KWA WATUMIAJI MBEYA



 Baadhi ya barabara jijini Mbeya zimekuwa zikipitika kwa shida kutokana na mvua inayoendelea kunyesha jijini Mbeya,maeneo yaliyoathiriwa na mvua hizo ni kusababisha barabara kuchimbika na kujaa maji ni maeneo ya Block T na maeneo ya Soweto,tunaomba mamlaka husika kushughulikia suala hilo mapema


Hii ni bara bara inayotokea Block T kuekekea Soweto ikiwa imejaa maji

Hili ni eneo la Soweto jirani na maegesho ya taxi

No comments:

Post a Comment