BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, June 14, 2012

SIKU YA WACHANGIA DAMU DUNIANI


Hawa nia baadhi ya wananchi waliojitokeza kuchangia damu siku ya leo ambayo ni siku ya wachangia damu duniani. Nilibahatika kuongea na mmoja kati ya wachangiaji hao na kuniambia kuwa amekuwa akitoa mara kwa mara hata anapokuwa nje ya nchi.
Pia bi. Jaqueline Cypirian na Jamal Abdallah walisema wanafurahia kuchangia damu na kuwataka wananchi wengine kuwa na moyo wa huruma dhidi ya wahitaji wa damu.

No comments:

Post a Comment