BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, June 27, 2012

WAHAMIAJI HARAMU 42 WAFARIKI.


Zaidi ya watu 40 wamefariki kwa kukosa hewa wakiwa ndani ya lori lililokuwa likiwasafirisha,marehemu hao inasemekana ni raia wa Ethiopia waliokuwa wakielekea Malawi kinyume na taratibu za uhamiaji,marehemu hao wamegundulika mkoanI Dodoma baada ya kutelekezwa porini na wafanyakazi wa gari husika ambalo mpaka sasa halijajulikana.
Naibu waziri mambo ya ndani mh.Pereira Silima amethibitisha na kusema wengine waliopona tayari wanashikiliwa na jeshi la Polisi nchini.

No comments:

Post a Comment