BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, November 21, 2012

SERA YA UJAMAA NA KUJITEGEMEA BADO IPO SANA.


Wananchi wa kata ya Isyonje wilaya ya Mbeya vijijini,wakifyatua tofali kwa ajili ya kuongezea majengo ya shule ya msingi.
Mdau wetu alitembelea kata hiyo na kufurahishwa na ushirikiano huo na yeye kushiriki kama anavyoonekana pichani akiwa anafyatua tofali.
Umoja ni nguvu,utengano ni udhaifu ni maneno ya Baba ya Taifa yaliyojaa hekima na busara.

No comments:

Post a Comment