BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, November 26, 2012

UGANDA YAANZA VYEMA KOMBE LA CHALENJI.


Timu ya taifa ya Uganda imefanikiwa kuwafunga Harambee Stars 1-0 kwenye uwanja wa Mandela Namboole jijini Kampala.
Goli la Uganda lilifungwa na Geofrey Kizito dakika ya 74 akiunganisha krosi ya Iguma.
Katika mechi nyingine zilizochezwa leo Burundi wameifunga Malawi bila huruma mabao 5-0 na Kilimanjaro Stars(Tanzania) wamewafunga Sudan 2-0

No comments:

Post a Comment