BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, November 29, 2012

ZANZIBAR HEROES YAWASHANGAZA AMAVUBI YAWACHAPA 2-1.


Timu ya Zanzibar leo imeweza kufanya kile ambacho hakikutegemewa na wengi baada ya kuifunga timu ngumu ya Ruanda(Amavubi) baada ya kuifunga goli 2-1 na kuingia robo fainali ya kombe la Tusker Challenge Cup.
Katika mechi ya kwanza Malawi wameibuka kidedea kwa kuwafunga Eriterea 3-2.

No comments:

Post a Comment