ZANZIBAR HEROES YAWASHANGAZA AMAVUBI YAWACHAPA 2-1.
 Timu ya Zanzibar leo imeweza kufanya kile ambacho hakikutegemewa na wengi baada ya kuifunga timu ngumu ya Ruanda(Amavubi) baada ya kuifunga goli 2-1 na kuingia robo fainali ya kombe la Tusker Challenge Cup.
 Katika mechi ya kwanza Malawi wameibuka kidedea kwa kuwafunga Eriterea 3-2. 
 
 
 
          
      
 
  
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
No comments:
Post a Comment