BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, December 23, 2012

TAIFA STARS YAWACHAPA MABINGWA WA AFRIKA


Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Taifa Stars imewalaza mabingwa wa soka wa Afrika Zambia(Chipolopolo) goli 1-0 katika mchezo wa kirafiki uliochezwa uwanja wa Taifa Dar es salaam.
Goli pekee la Taifa Stars lilifungwa na Mrisho Ngassa dakika ya 45 huku Zambia wakiwatumia wachezaji wao makini kama Christopher Katongo,Felix Katongo na Nathan Sinkala lakini hawakuweza kubadili matokeo.

No comments:

Post a Comment