BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, December 01, 2012

MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI-MBEYA.


Mamia ya wakazi wa Mbozi Mission wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ambayo yamefanyika kimkoa wilayani Mbozi.
Mh.Kandoro amewaasa wananchi kuepukana na tabia hatarishi na kutowanyanyapaa wagonjwa wa ukimwi.
Mh.Kandoro aliwaongoza wananchi katika zoezi la kuchangia damu kwa hiari,baada ya kuchangia damu siku ya leo kwenye viwanja vya Mbozi Mission.

No comments:

Post a Comment