KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Sunday, December 30, 2012
TUSKER FC YAICHAPA SIMBA 3-0
Timu ya Tusker FC ya Kenya,imeendeleza ubabe wake kwa timu za Tanzania baada ya kuichapa Simba kwa goli 3-0,kwenye mechi ya kirafiki iliyofanyika uwanja wa Taifa Dar es salaam. Jumatano iliyopita waliwafunga mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga 1-0.
No comments:
Post a Comment