BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, February 25, 2013

MZIMU WA LIBOLO WAENDELEA KUITESA SIMBA.











Mabingwa watetezi wa Tanzania Bara jana walizidi kupoteza matumaini ya kutetea ubingwa wao baada ya kufungwa na Mtibwa ya Morogoro kwa goli 1-0 kwenye uwanja wa Taifa Dar es salaam.
Mtibwa walipata bao lao dakika ya 18 likifungwa na Salvatory Ntebe akiunganisha pasi ya Vincent Barnabas,Simba imekuwa kwenye wakati mgumu toka walipomuuza nyota Emanuel Okwi na kumfukuza kocha wao Milovan Circovic na kuwafanya kuwa na matokeo yasiyoridhisha.

No comments:

Post a Comment