BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, March 02, 2013

MANCHESTER UNITED YAMUONGEZEA MKATABA RYAN GIGGS


Mchezaji mkongwe katika ligi ya Uingereza ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja na klabu yake ya Manchester United.
Mchezaji huyo ambaye anatarajiwa kutimiza miaka 40 hivi karibuni utakuwa ni msimu wake wa 23 ndani ya Manchester united ni mmoja kati ya wachezaji waliyoipatia mafanikio klabu hiyo ya mashetani wekundu.

No comments:

Post a Comment