BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Saturday, February 02, 2013

YANGA YAPONEA KWENYE TUNDU LA SINDANO


Mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga leo wameponea chupuchupu kupoteza mchezo wa ligi kuu baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Mtibwa Sugar
Mtibwa walipata bao la kuongoza dakika ya 45 likifungwa na Shaban Kisiga,Yanga wamefanikiwa kusawazisha dakika ya 85 kupitia kwa Hamis Kiiza ambaye aliunganisha mpira wa Said Bahanuzi.

No comments:

Post a Comment