BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, January 27, 2013

SIMBA YAANZA VIZURI MZUNGUKO WA PILI


Mabingwa watetezi wa Tanzania bara jana wameanza vyema mzunguko wa pili wa ligi baada ya kuwachapa African Lyon goli 3-1,nao Azam FC wamepata ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Kagera Sugar,Mtibwa wameangukia pua baada ya kuchapwa goli 1-0 na Polisi Morogoro,Coastal Union wameibamiza JKT Mgambo 3-1,Toto African wamekubali kichapo toka kwa JKT Oljoro.
Ligi hii inaendelea leo kwa mchezo mmoja kati ya mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga na Tanzania Prison kwenye uwanja wa Taifa Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment