BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, May 02, 2013

BARCELONA ULIMI NJE KWA BAYERN MUNICH YAPIGWA GOLI 7-0 KWA WIKI MOJA.


Timu ya Barcelona jana imepokea kipigo cha goli 3-0 nyumbani kutoka Bayern Munich na kutolewa kwenye nusu fainali na wajerumani hao
Mchezo wa kwanza uliochezwa Alienz Arena wiki moja iliyopita Barcelona walifungwa goli 4-0.
Bayern Munich sasa watakutana na wajerumani wenzao wa Borussia Dortmund kwenye mchezo wa fainali utaofanyika uwanja wa Wembly nchini Uingereza.

No comments:

Post a Comment