BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Monday, January 09, 2012

DON AND YAMAVILLA DUKA LINALOWASAIDIA WAKULIMA KWA KIASI KIKUBWA WILAYANI MBOZI

                      DON AND YAMAVILLA AGRO CHEMICAL

Duka la pembejeo na madawa ya kilimo lililopo mji mdogo wa Mlowo,linalojulikana kama DON & YAMAVILLA AGRO CHEMICAL limekuwa ni msaada mkubwa kwa wakulima wa eneo hilo na vijiji vya jirani,kutokana na kuuza mbolea,madawa ya kilimo na kutoa ushauri juu ya matumizi ya madawa kwenye mimea.

Baadhi ya madawa yaliyoko kwenye duka hilo ambalo linamilikiwa na Dominick Mwamwezi,ambaye amesema duka hilo linatoa huduma nyingi kwa wateja ikiwemo huduma ya M-Pesa  na Tigo pesa kwa ajili ya kuwasaidia wateja wake.


No comments:

Post a Comment