BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, January 17, 2012

WAKULIMA HAWA WANAHITAJI MSAADA WA SOKO LA BIDHAA ZAO

 Wakina mama wa kijiji cha Mshewe Mbalizi wilaya ya Mbeya vijijini wakiuza maembe kwa bei ya shilingi 500/= kwenye plastiki,ambayo ni bei isiyoendana na wingi wa bidhaa hiyo,tunawaomba wale wote wenye uwezo wa kujua soko liliko wawasaidie wakulima
 Wakina mama wakiwa na watoto wao wakisubiri wateja wa maembe kijiji hapa kama walivyokutwa na kamera yetu.

Hili ni ambalo wakina mama hawa huuzia biashara zao za matunda

Moja ya matunda yaliyopo mashambani yakisubiriwa kuvunwa matunda yanajulikana kama maparachichi au matakapela pia yanapatikana kwenye kijiji hiki.


No comments:

Post a Comment