BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, January 05, 2012

SUDAN KUSINI YATANGAZA JONGLEI YAKUMBWA NA MAAFA YA KIBINADAMU

 Baraza la mawaziri Sudan kusini limetangaza janga hilo katika mkutano maalum ambapo kundi la wapiganaji 6000 la kabila Luo nuer lilishambulia baadhi ya miji ikiwemo Lukangol na Pibor wiki iliyopita,na kuchoma mahema na kusababisha maelfu kukimbia maeneo hayo
Naibu katibu mkuu wa umoja wa mataifa anayeshughulikia masuala ya kibinadamu bi.Valerie Amos katika mkutano na waziri wa masuala ya kijamii  wa Sudan Amira Al Fadel Mohammed huko Khartoum.

No comments:

Post a Comment