BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, January 10, 2012

MESSI MCHEZAJI BORA WA DUNIA 2012






  Mchezaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina Leone Messi amefanikiwa kutwaa tuzo ya mwanasoka bora wa dunia kwa mara ya tatu,Messi ameiwezesha timu yake ya Barcelona kutwaa mataji ya klabu bingwa Ulaya,klabu bingwa ya Dunia na ubingwa wa Hispania,amekuwa akipachika mabao muhimu na kutengeneza magoli kwa pasi zake za uhakika.



Wachezaji wa Barcelona wakishangilia ubingwa wa UEFA champion league.

No comments:

Post a Comment