KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Sunday, September 02, 2012
MENAS ZENAWI AZIKWA LEO
Waziri Mkuu wa Ethiopia Menas Zenawi amezikwa leo jijini Addis Ababa. Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka nje ya Ethiopia,mmoja wa viongozi hao Rais Paul Kagame wa Ruanda alimuelezea marehemu kuwa katika uongozi wake alileta maendeleo nchini humo na bara la Afrika kwa ujumla.
No comments:
Post a Comment