BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, September 04, 2012

DAUD MWANGOSI AZIKWA LEO TUKUYU MBEYA.


Katibu mkuu wa taifa wa CHADEMA akiweka shada la maua kwenye kaburi la Daud Mwangosi ambaye alikuwa mwandishi wa kituo cha televisheni Chanel Ten,ambaye aliuawa juzi katika vurugu kati ya polisi na wananchi wanaosadikiwa na wanachama wa Chadema huko Nyololo wilayani Mufindi.
Marehemu Daud Mwangosi amezikwa kijijini kwao Busoka,Tukuyu,watu wengi wamehudhunishwa na kifo hicho na kulitupia lawama jeshi la polisi.

No comments:

Post a Comment