BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, September 02, 2012

MJASILIAMALI WA KATAVI


Pamoja na kuwepo kwa ushindani wa soko za bidhaa zetu kwenye masoko ya nje,bado Tanzania tuna nafasi ya kuibua vipaji vilivyo vijijini na kuviendeleza,kamera yetu ilimkuta fundi huyu wa vinu(pichani) akitengeneza vinu vidogo kwa kutumia nyenzo duni.
Bidhaa kama hizi zimekuwa zikitumika majumbani na baadhi ya watalii wakinunua kama mapambo au ukumbusho wao kutembelea Afrika,inatakiwa mipango mizuri ya kuwawekea wabunifu wetu misingi mizuri ili kuwafanya wasonge mbele

No comments:

Post a Comment