KWA HABARI ZA KIMATAIFA,KITAIFA,MICHEZO NA BURUDANI TEMBELEA MTANDAO HUU KILA SIKU
BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM
Tuesday, January 01, 2013
USIKU WA MWAKA MPYA 2013 VITUKO VITUPU.
Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Willy ameonekana akiwa amevaa suti iliyoshonwa kwa kutumia mifuko ya cement na kuvinjari mitaani maeneo ya Simike jijini Mbeya. Ilikuwa moja ya burudani kwa wakazi wa eneo hilo la Simike.
No comments:
Post a Comment