BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Tuesday, January 08, 2013

YANGA UWANJANI TENA LEO


Mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga ya Dar es salaam,leo wanashuka tena dimbani kucheza na timu ya Denizlspor nchini Uturuki ambako Yanga wameweka kambi.
Yanga ikiwa imesheheni vipaji iliweza kupata matokeo ya sare ya 0-0 kwenye mechi yake ya kwanza na kuzivutia timu nyingine za nchi hiyo kutaka kucheza nayo.

No comments:

Post a Comment