BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Wednesday, January 09, 2013

YANGA YAPIGWA 2-1 UTURUKI


Mabingwa wa Afrika mashariki na kati Yanga,jana wamefungwa goli 2-1 na timu ya daraja la kwanza nchini Uturuki ya Denizlispor.
Yanga wako nchini Uturuki ambako wameweka kambi ya wiki mbili.

No comments:

Post a Comment