BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, August 29, 2014

AJALI KUBWA YATOKEA MBALIZI MBEYA

 Wimbi la ajali limezidi kulikumba jiji la Mbeya baada ya leo kutokea ajali eneo la Mbalizi na kugharimu maisha ya watu wasiopungua kumi na wengine zaidi ya sita wakijeruhiwa.
 Ajali hiyo imehusisha gari ya abiria(daladala) na lori dogo aina ya TATA, na kuleta simanzi kubwa kwa wakazi wa Mbalizi na maeneo ya jirani.
Wananchi wa Mbalizi wakiwa wamepigwa butwaa baada ya ajali iliyosababisha vifo vya watu.

No comments:

Post a Comment