BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Friday, August 08, 2014

YANGA KUTOSHIRIKI KAGAME CUP KUTAPOTEZA WAPENZI WAPYA WA NDANI NA NJE YA TANZANIA

 Yanga ni moja ya timu kubwa ukanda huu wa Afrika mashariki na kati na pengine ndio inaweza ikawa timu yenye washabiki wengi kwa ukanda huu wa Afrika mashariki.
 Kitendo cha timu hii kuwa matatizo ya maramara na shirikisho la soka la Afrika mashariki na kati(CECAFA) na kuifanya timu hii kuondolewa kushiriki michuano ya kombe la Kagame,kuna uwezekano mkubwa wa timu kupoteza wapenzi wapya kwa sababu hamna mtu anayependa kujiingiza kwenye kitu ambacho kina matatizo kila mara,na athari zake haziwezi kuonekana leo hii inaweza ikaonekana miaka ishirini ijayo au zaidi,kwa sababu wapenzi wapya ni wale ambao wana umri wa miaka mitano hadi kumi.
Wakisherekea ubingwa
Kikosi cha Yanga

No comments:

Post a Comment