BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, August 24, 2014

EL-MERREIKH MABINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI 2014

  Timu ya El-merreikh ya Sudan imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Afrika mashariki na kati kwa kuwafunga APR ya Rwanda kwa bao 1-0,bao pekee la El-merreikh limefungwa na Allan Wanga dakika ya 25 ya mchezo na kuwafanya APR kushindwa kufurukuta mbele ya mashabiki wao na kunyang'anywa tonge mdomoni na wasudan hao.
  Mechi ya kutafuta mshindi wa tatu ilichezwa mapema na Police Rwanda wamepata nafasi hiyo kwa kuitoa KCCA ya Uganda kwa penati 4-2.

Wachezaji wa El-merreikh wakishangilia ushindi dhidi ya APR.

No comments:

Post a Comment