BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Sunday, February 13, 2011

BOMOA BOMOA


Jengo jipya lililoko Mbeya eneo la Mafiat,likionekana limebomolewa upande kutokana na mmiliki wake kushindwa kuzingatia umbali kati ya barabara na nyumba.

No comments:

Post a Comment