BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, February 17, 2011

BREAKING NEWS!!!


Kuna mlipuko mkubwa unaendelea usiku huu eneo la Gongo la mboto jijini Dar es salaam,inasadikiwa ni kutoka kambi ya jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) na hivyo kuwafanya wakazi na majirani wa eneo hilo kuyakimbia makazi yao na kuelekea katikati ya jiji na kusababisha msongamano mkubwa kwenye baadhi ya barabara.
Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kutoka mfuatiliaji wa taarifa hii.

No comments:

Post a Comment