BENJAMINKAMINYOGE.BLOGSPOT.COM

Thursday, April 28, 2011

CHANGIA DAMU OKOA MAISHA


Waelimishaji kutoka kitengo cha taifa cha damu salama kanda ya nyanda za kusini,wakitoa elimu juu ya uchangiaji damu kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Lwati wilayani Mbozi-Mbeya.Kwa kutumia blog hii nawapongeza wafanyakazi wa kitengo husika na wale wote wenye moyo wa kujitolea kwa ajili ya wahitaji-Amen.

No comments:

Post a Comment